»jinsi ya kujenga bustani ya mboga

0 / 5. 0

Chanzo:

https://www.youtube.com/watch?v=wIQhlAf_gh4

Muda: 

00:05:59
Imetengenezwa ndani: 
2018

Imetayarishwa na: 

Asian garden 2 table

Mboga ni mazao muhimu kwa lishe bora. Bustani za mboga zinapaswa kujengwa mahali palipo na jua, mbali na miti mikubwa pamoja na vichaka ili kupunguza ushindani wa virutubisho.

Iwapo unandaa bustani ya mboga, usitumie jembe la tila kwa kuwa linaweza kukata nyasi ambazo huchipuka baadaye na kuwa ngumu kuondolewa. Udongo wa bustani ya mboga unapaswa kuwa unene wa futi 1 – 2 . Kwa hivyo kadiri unavyopanda mboga ndivyo unene na ubora wa bustani utakuwayo.

Hatua

Kata nyasi, geuza udongo na uondoe nyasi na mizizi.

Tenganisha nyasi kutoka kwa udongo ukitumia reki

Jenga kingo za bustani na matofali ili kutenganisha bustani kutoka kwa nyasi na mizizi.

Inua mifuko ya bustani ili maji yasitiririke kwenye bustani.

Weka udongo wa mboji ulio na unene wa futi 1 kwa wakulima wa kilimo-hai.

Ongeza mabaki ya mimea na kuichanganya na udongo, tandaza bustani na ongeza mboji kwenye udongo.

Kuanzia dakika ya Hadi dakika y Maelezo
00:0000:11kujenga bustani ya mboga
00:1200:36Kata nyasi, geuza udongo na uondoe nyasi na mizizi.
00:3702:29Ondoa nyasi na mizizi kutoka bustani.
02:3003:37Jenga kingo za bustani na matofali. Inua mifuko ya bustani.
03:3804:06Weka udongo wa mboji ulio kwa wakulima wa kilimo-hai.
04:0705:21Ongeza mabaki ya mimea na kuichanganya na udongo, tandaza bustani na ongeza mboji kwenye udongo.
05:2205:59Muhtasari

Tazama video ya nje

Kwa kubofya kiunga kifuatacho au kitufe cha kucheza utaondoka kwenye Maktaba ya Video ya FO na utumie tovuti ya nje! Tungependa kukuona tena, kwa hivyo usisahau kurudi!

Soma zaidi

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *